Maendeleo ni Vita
Pages
Makala za uchunguzi
Makala za utalii
Makala za Elimu
Makala za mazingira
Makala za kijamii
Habari katika picha
Wednesday, July 6, 2011
Umewahi kuwaona simba na chui waliokaushwa
Hapa ni katika banda la maonesha ya kimataifa la wizara ya maliasili na utalii jijini Dar es salaam ambako pamoja na mambo mengine kuna wanyama kama simba mfalme wa pori pamoja na chui ambao wamekaushwa kama wanavyoonekana kwa nyuma picha na maelezo na Albano Midelo
Picha hii ni katika banda la maonyesho la wizara ya maliasili na utalii jijini Dar es salaam nenda ukawaone wanyamapori hawa na wengine wengi pamoja na kupata maelezo ya kina kuhusu wanyama hao ambao ni urithi wa taifa la Tanzania.Hii ni nafasi pekee ya watanzania ambao hawana uwezo wa kusafiri mbali
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment