Monday, November 5, 2012

Shule ya msingi Ndonga wilayani Nyasa imesahaulika

Hiki ni miongoni mwa vyumba vya madarasa ambavyo vinatumiwa na shule ya msingi Ndonga iliyopo wilayani Nyasa mkoani Ruvuma.Wanafunzi wanasoma katika darasa hili kwa mwaka mmoja sasa huku shule ikiwa haijakaguliwa tangu mwaka 1995,asilimia 90 ya wanafunzi wanaosoma katika shule hii hawana viatu.Shule ina wanafunzi 309 .Picha na maelezo na Albano Midelo

Hapa ni mwalimu wa taaluma katika shule ya msingi Ndonga Amos Kilongo akionesha madarasa ambayo yanaendelea kutumiwa na wanafunzi licha ya kuezuliwa kwa miaka miwili sasa picha na maelezo na Albano Midelo.Subiri habari kamili.

No comments:

Post a Comment