Moja ya vivutio adimu vya utalii katika jiwe la kihistoria la Pomonda Liuli ziwa Nyasa,hapa mtalii anaonekana akifurahia utalii wa kupiga mbizi katika jiwe hilo ambalo ni la asili lenye mazingira ambayo hayafanani na mahali pengine popote nchini Tanzania picha Albano Midelo

No comments:
Post a Comment