Saturday, January 15, 2011

Rais wa Zanzibar katika makumbusho ya Taifa ya majimaji

Rais wa Zanzibar Dk.Ally  Mohamed Shein alipotembelea makumbusho ya Taifa ya Majimaji ambayo ni maarufu katika mkoa wa Ruvuma hususani mji wa Songea ambao ni mji wa wenye utajiri wa utalii wa kishujaa na kihistoria (Picha na  Melezo yote na Albano Midelo)

No comments:

Post a Comment