Maendeleo ni Vita
Pages
Makala za uchunguzi
Makala za utalii
Makala za Elimu
Makala za mazingira
Makala za kijamii
Habari katika picha
Tuesday, May 10, 2011
Pango la Chandamali Songea kivutio cha utalii wa kihistoria na kishujaa
Picha inamuonesha Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dk.Christine Ishengoma akiwa ameketi juu ya jiwe la Chandamali mahali ambapo Chifu wa kabila la Kingoni Nduna Songea Mbano alitumia kujificha wakati anapambana na wakoloni wa kijerumani pia alitumia pango hilo kupanga mbinu za kivita akiwa na wafuasi wake picha na Albano Midelo
PI
cha hii inawaonesha wadau mbalimbali wa utalii kutoka wilaya zote za mkoa wa Ruvuma walipotembelea katika Pango la Chandamali lenye utalii wa kihistoria na kishujaa hususani vita vya Majimaji ambavyo vilipiganwa kusini mwa Tanzania picha na maelezo na Albano Midelo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment