Monday, May 23, 2011

Usafiri wa kwenda wilaya mpya ya Nyasa wakati fulani una changamoto zake

Picha inaonesha wakazi wa Mbambabay  makao makuu ya wilaya mpya ya Nyasa mkoani Ruvuma akiwemo huyo mtoto wa kike wakiwa wamening'nia nyuma ya gari kutoka wilayani Mbinga hadi Mbambabay umbali wa zaidi ya kilometa 90,ni hatari kwa maisha picha na maelezo na Albano Midelo

No comments:

Post a Comment