Sunday, June 5, 2011

Mmea aina ya mlonge una uwezo wa kutibu magonjwa 40

Mtaalamu wa mmea wa asili aina ya mlonge kutoka wilayani Tunduru mkoani Ruvuma akielezea faida za mmea hu ambao licha ya kuwa unatunza mazingira lakini pia una uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali zaidi ya 40  yakiwemo magonjwa hatari  ya malaria pamoja ya magonjwa karibu yote ya tumbo picha na maelezo ya Albano Midelo

No comments:

Post a Comment