Maendeleo ni Vita

Pages

  • Makala za uchunguzi
  • Makala za utalii
  • Makala za Elimu
  • Makala za mazingira
  • Makala za kijamii
  • Habari katika picha

Friday, October 7, 2011

Hatuwezi kuepuka ajali kwa ubebaji wa abiria wa aina hii

Gari hili lilikutwa na  katika mnada wa Mbuyuni wilayani Chunya likiwa linaandoka katika eneo hili kuelekea jijini Mbeya likiwa limebeba wafanyabiashara wa mnadani kama unavyoona pichani.Siku hii ndipo gari lilingine likiwa limetoka kwenye mnada huu lilipata ajali kwenye mlima wa Msangamwelu na kuuwa watu 14  na kusababisha majeruhi kadhaa.Imekuwa ni kawaida kwa magari yanayokwenda mnadani katika  mkoani Mbeya kubeba abiria bila kuzingatia sheria za usalama barabarani.Askari wa usalama barabarani pamoja na vyombo vingine vyenye mamlaka vimekuwa vinaona bila kuchukua hatua.Inapotokea ajali tunaanza kupeana salamu za rambirambi pamoja na kutafuta mchawi,tubadilike sasa kwa kufuata taratibu ili kuepuka ajali zisizokuwa za lazima picha na maelezo na Albano Midelo.
MAENDELEO NI VITA Unknown at 2:05:00 AM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Karibu Makumbusho ya Taifa ya Majimaji Songea

Karibu Makumbusho ya Taifa ya Majimaji Songea
Ni makumbusho ya Taifa pekee nchini unayoweza kuona vitu halisi

Marais waliotupitisha katika vita ya maendeleo

Marais waliotupitisha katika vita ya maendeleo
Marais wa Tanzania kuanzia awamu ya pili,tatu,nne na sasa awamu ya tano

Total Pageviews

Utajiri wa Gesi asilia Tanzania

Utajiri wa Gesi asilia Tanzania
Hapa ni Mnazibay Mtwara ambako kumegundulika kiwango kikubwa cha gesi asilia ambacho kinaweza kuingiza Tanzania katika uchumi wa kati mwaka 2025

Ndege mwenye uwezo wa kuruka hadi Ulaya

Ndege mwenye uwezo wa kuruka hadi Ulaya
Ndege anayepatikana katika hifadhi ya Taifa ya Kitulo Makete Tanzania ana uwezo wa kuruka hadi barani ulaya

Kitabu kwa ajili ya watanzania wote

Kitabu  kwa ajili ya watanzania wote
Hakikisha kila familia inapata nakala moja ya kitabu cha NEEMA YA MAFUTA NA GESI TANZANIA wasiliana kwa simu 0784765917 au 0763885442

Kitabu kipya cha VITA KUU YA TATU YA DUNIA INAKUJA

Kitabu kipya cha VITA KUU YA TATU YA DUNIA INAKUJA
Agiza nakala yako ya kitabu kipya cha VITA KUU YA TATU YA DUNIA INAKUJA.KITABU HICHO KIPO MBIONI KUTOKA wasiliana na namba 0784765917

Tuzo ya kitaifa mwaka 2012/2013

Tuzo ya kitaifa mwaka 2012/2013
Mmiliki wa mtandao wa MAENDELEO NI VITA Bw.Albano Midelo aliposhinda Tuzo za kitaifa za TANAPA na kuwa mshindi wa kwanza kwenye magazeti.Alitunukiwa cheti,ngao,fedha shilingi milioni 1.5 pamoja na kupata mafunzo ya uhifadhi katika nchi za SADC

Usafi wa mazingira iwe ni dhamira

Usafi wa mazingira iwe ni dhamira
Rais wa awamu ya tano Dk.John Magufuli anaonesha mfano halisi,tumuunge mkono kwa vitendo

Mabadiliko ya tabianchi yataangamiza Dunia

Mabadiliko ya tabianchi yataangamiza Dunia
Dunia ipo njia panda kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo yamesababisha joto kuongezeka kwa kiwango cha kutisha,tutaangamia

Fukwe bora Duniani zipo ziwa Nyasa

Fukwe bora Duniani zipo ziwa Nyasa
Ziwa Nyasa linaongoza kwa kuwa na maji maangavu Duniani.Lakini ndiyo ziwa lenye fukwe bora,kama unavyoona fukwe za ukanda wa Mbambabay wilayani Nyasa.
MAENDELEO NI VITA. Picture Window theme. Powered by Blogger.