Na Albano MideloKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida shule ya sekondari ya wasichana ya Chipole inayomilikiwa na watawa wa kanisa katoliki jimbo kuu la Songea mkoani Ruvuma mwaka huu wamehitimu wanafunzi watano tu.
Hayo yamebainika kwenye mahafali ya kidato cha sita katika sekondari hiyo ambapo mgeni rasmi alikuwa ni afisa elimu wa mkoa wa Ruvuma Paulina Mkonongo.
Changamoto nyingine zinazoikabili sekondari hiyo ni pamoja ukosefu wa walimu wa kutosha,ukosefu wa vitabu vya kiada na ziada na ukosefu wa jengo la kisasa na utawala.
albano.midelo@gmail.com

Nawapa hongera hao wahitimu. Ni muhimu kuyachukulia matatizo kama changamoto na chachu ya kutufanya tusonge mbele.
ReplyDelete