| Nelson Mandela ni taa iliyozima ghafla duniani na kuacha giza nene,mzee Mandela atakumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya hapa duniani hasa kumaliza ubaguzi wa rangi ambao ulisababisha mauaji ya watu wengi weusi, pumzika salama baba,tunatumaini roho yako ipo mahali pema peponi amini. |
No comments:
Post a Comment