Sunday, May 1, 2016

Askari aliyetukanwa na mke wa waziri kupandishwa cheo

Agizo la Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo askari wa Usalama barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakati akitekeleza majukumu yake ya kikazi.


Rais ameyasema hayo wakati akifungua Kikao cha Makamanda wa Polisi wa Mikoa. Aidha Rais Dr. Magufuli  ameshamuonya Waziri huo ambaye mke wake amemtukana askari wa Usalama Barabarani.Rais amesema hakuna kiongozi au familia ya kiongozi iliyoko juu ya sheria.

http://www.jamiiforums.com/threads/rais-magufuli-askari-wa-usalama-barabarani-aliyetukanwa-na-mke-wa-waziri-apandishwe-cheo.1

No comments:

Post a Comment