Wanasayansi wa Uchina wamefaulu katika
tiba yao mpya ya majaribio ya kutibu upofu.
Walitumia nguruwe katika majaribio hayo
ya tiba ya kuondoa upofu, ambapo walitumia konea kutoka kwa wanyama hao.
Sasa wamesema wana imani kwamba hilo
litafaa sana kutokana na uhaba wa konea za binadamu.
Inakisiwa kuwa Wachina wapatao 5
milioni wanakabiliwa na matatizo ya konea, sehemu ya mbele ya jicho iliyo ngumu
na inayowezesha miali ya mwanga kupenya.
Matatizo ya konea husababisha watu
wengi kuwa kipofu.
CHANZO BBC SWAHILI
No comments:
Post a Comment